Gere

by Tanasha Donna, Diamond Platnumz

Lyrics : Diamond Platnumz/Tanasha Donna
Music : Diamond Platnumz/Tanasha Donna
Zigila parapampapa
Donna na Chibude
Oh, yeah
It's Platnumz
Eh, ati unapenda kuni
Kikupa mpaka morning
Nikipekenya pekenya
Nisiwahi nichelewe
Kikuchum mdomoni
Touchi touchi kiunoni
Mi natekenya tekenya
Nakufanya ulewe
Ooh you are my sweet chocolate monster
Sorry I contemplate on that
And baby you'd better ride for me
And show me that you are mine
Oh oh
I'ma go downtime for you
Call you king put a crown on you
And baby take your time with me
Let's flow like river Nile
Hapa, asa show me ile kitu amekupa mama
Hebu chutama kama inazama
Nikupige chenga kwa dana dana
Tuwafunge kelele, aiyayaya
Jioni usiku mchana, jua likizama
Tuanza kandana
Nikuonyeshe kile amenipa mama
So wafunge kelele
Maana wanaona
Wanaona gere, wanaona gere
Wanaona gere
Wanaona ge, wanaona ge, ge ge ge
Wanaona gere, wanaona gere
Wanaona gere
Wanaona ge, wanaona ge, ge ge ge
Don't you ever leave me solo
Or disappoint me with this basic hoe
You make my mind go loko loko
Utawapa misemo wa noko noko
And you better tell them that you‘re mine
Better be my ride or die
Kabla ya kuwika jogoo
Asubuhi niamshe na kimoko
Eeeh, mama kasema mwali mwana
Nimepata nitulie Simba
Oh nitulie Simba
Oh nitulie Simba
Zile chenga vidanga dana
Vicheche nichunie Simba
Oh nichunie Simba
Oh nichunie
Asa baby ebu show me
Ile kitu amekupa mama
Hebu chutama kama inazama
Nikupige chenga kwa danadana
Tuwafunge kelele aiyayaya
Jioni usiku mchana, jua likizama
Tuanza kandana
Nikuonyeshe kile amenipa mama
Si wafunge kelele
Maana wanaona
Wanaona gere, wanaona gere
Wanaona gere
Wanaona ge, wanaona ge, ge ge ge
Wanaona gere, wanaona gere
Wanaona gere
Wanaona ge, wanaona ge, ge ge ge
Asa baby nikomeshe
Kati, katika, kata
Kati, kati, katika (kata)
Donna katika (kata)
Oh baby katika (kata)
When you hold on to me (kata)
When you follow my lead (kata)
Moving side to side baby (kata)
Oh kati (kata)